HONGERA ULANGA COMMUNITY RESOURCE CENTRE

photos

Welcome to UCRC

About Me

Ulanga Community Resource Centre is a not-for-profit company limited by guarantee which was initiated with the aim of capacitating the resident peoples of Ulanga and Kilombero Districts and Tanzania in general to secure the right information and hold their duty bearers accountable in a bid to promote sustainable community development. UCRC as well aims at promoting educational activities in Ulanga District through facilitation of necessary educational resources in the area which include well equipped libraries and study centers. UCRC also works on land and natural resource rights for the marginalized rural people in Tanzania which also include sustainable use of such resources. It also provides legal aid and assistance to the poor, particularly women, children, the disabled and other disadvantaged groups in the society on different themes including land and gender.

About Us

Mpendwa msomaji, karibu katika Blog yetu inayomilikiwa na Ulanga Community Resource Centre (UCRC) ambayo ni taasisi ya kiraia inayojishughulisha na masuala mbalimbali ya kijamii ikiwa ni pamoja na kuhamasisha jamii za Wilaya za Ulanga na Kilombero juu ya masuala ya Elimu, utatuzi wa migogo ya ardhi, utunzaji wa mazingira na kuelimisha jamii kuwawajibisha viongozi wao ili kuleta maendeleo.

Lengo letu pia ni kuwawezesha wenyeji wa Ulanga na Kilombero pamoja na Morogoro kwa jumla kupata taarifa za huko kupitia Blog hii. Kwa sasa tumeiunganisha na Waandishi mahiri ambao ni Senior Libonge wa Ulanga FM Mahenge na Henry Bernard Mwakifuna wa Pambazuko FM- Ifakara. Wao ndio wanaotuwezesha kupata taarifa za kila siku. Pamoja na Blog hii tuna Facebook account "ulanga centre" na Facebook page "Ulanga Community Resource Centre" kama una maoni au ushauri tafadhari tuandikie au tutumie kwenye anuani yetu: ucrc2012@gmail.com

 

 

 

 Read in English.....

DEAR READER, Welcome to our information platform. Ulanga Community Resource Centre is a not-for-profit company limited by guarantee which was initiated with the aim of capacitating the resident peoples of Ulanga and Kilombero Districts and Tanzania in general to secure the right information and hold their duty bearers accountable in a bid to promote sustainable community development. UCRC as well aims at promoting educational activities in Ulanga District through facilitation of necessary educational resources in the area which include well equipped libraries and study centers. UCRC also works on land and natural resource rights for the marginalized rural people in Tanzania which also include sustainable use of such resources. It also provides legal aid and assistance to the poor, particularly women, children, the disabled and other disadvantaged groups in the society on different themes including land and gender.


 

No comments:

Post a Comment